Lewati ke konten utama
Lirik lagu

Nitasema

Jay Melody

[Verse 1]
Si unitoke hata mara moja
Akilini mwangu oh mara moja
Ninayopitia ni kama umeniroga
Haya mapenzi yaamenipa gonjwa

[Bridge]
Japo sijawai kukwambia
Jinsi ninavyo kuota
Nakuzimia moyo umeukota
Hii dunia nimempenda mmoja
Hizi hisia nitakwambia how i feel

[Chorus]
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me

[Verse 2]
Ooh
Na vitu vyako vinachanganya oh
Unugusapo kwisha mwenzio oh
Your magnet oh, unanivuta hapo
Utanitoa roho, jamani
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah moyo wangu
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah mmmh

[Bridge]
Japo sijawai kukwambia
Jinsi ninavyo kuota
Nakuzimia moyo umeukota
Hii dunia nimempenda mmoja
Hizi hisia nitakwambia how i feel

[Chorus]
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah moyo wangu
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah moyo wangu