Lewati ke konten utama
Lirik lagu

Wewe

Harmonize

[Intro]
Zombie struck to the neck
Is Konde Boy, call me number one
Let's talk about love, baby
(S2kizzy Baby)

[Verse 1]
We ndo unanipendeza dunia inajua
Mimi mwenyewe najipongeza najua kuchagua
Na pale ninapoteleza siku litawaka jua
Wakileta jealous na kutubeza ndio ukubwa tunakua

[Pre Chorus]
My baby, these girls ain't loyal
Kumbe walitaka pesa nikawapa moyo
Baby iiih, these hoes ain't loyal
Wapenda sufuri nyingi niliwapa moyo

[Chorus]
Ni bora ningekupa wewe
Wewe tu, wewe
Upendo ningekupa wewe
Wewе tu, wewe
Tamu yangu ningekupa wеwe
Wewe tu, wewe
Muda wangu ningekupa wewe
Wewe tu, wewe
Yaani saa hivi tungeshakuwaga mbali

[Verse 2]
Utu wangu na thamani yeye pekee ndio anaevijua
Na ndio maana hatuachani wa peke peke mnajisumbua
Utu wangu na thamani yeye pekee ndio anaevijua
Na ndio maana hatuachani wa peke peke mnajisumbua
Uzuri wako unanifanya nijiulize
Kiasi gani mungu alikuaga bize
Sa kwa nini nikuumize
Sa kwa nini nikulize
Neno lako sheria lazima nisikilize
Hakuna anaependa akawa bize
Sa kwa nini nikuumize
Sa kwa nini nikulize

[Pre Chorus]
My baby, these girls ain't loyal
Kumbe walitaka pesa nikawapa moyo
Baby iiih, these hoes ain't loyal
Wapenda sufuri nyingi niliwapa moyo

[Chorus]
Ni bora ningekupa wewe
Wewe tu, wewe
Upendo ningekupa wewe
Wewe tu, wewe
Tamu yangu ningekupa wewe
Wewe tu, wewe
Muda wangu ningekupa wewe
Wewe tu, wewe
Yaani saa hivi tungeshakuwaga mbali

[Outro]
Is Konde Boy, call me number one
Konde Music worldwide, oh ah
Zombie struck to the neck